A person holding a mobile phone in their hand.

Nani wa kupiga simu kwa msaada (Who to call for help) - Swahili

Katika hali ya dharura ya papo hapo, inayotishia maisha kama vile:

  • Maumivu ya kifua au kubanwa kwa kifua
  • Ganzi ya ghafla au kupooza kwa uso, mkono au mguu
  • Kuchomeka kwingi
  • Ajali mbaya
  • Kutokwa na damu nyingi
  • Ugumu wa kupumua
  • Maumivu makali
  • Kukosa fahamu

Piga simu kwa Ziro Tatu (000) na mpokea simu ataweza kukusaidia .

Ikiwa unahitaji huduma ya haraka lakini sio hatari kwa maisha:

Unaweza pia kupata usaidizi kutoka kwa:

Updated